Friday, July 2, 2010



Nikufa na kupona lakini usalama wa Raia na mali zao ukjo mikononi mwetu


Askari ni Askari tu


Hatuna jinsi


Usijali ni maisha tu


Wakzi wa kijiji huu ndiyo usafiri wao


Askali wa mwema


IGP Akipokea heshima ya kijeshi kwa kamnda wake wa kikosi cha kutuliza ghasia


Askari mkoani Iringa wakiwa maoja ya mazoezi ya kumpokea IGP


IGP Said Mwema na mwenyeji wake Kmanda wa polisi mkoa wa Iringa Evaristo Mangala


Afande IGP Mwema katika ziara yake mkoani Iringa aliwahi kuulizwa swali lifuatalo;-Afande IGP huoni kuna changamoto kubwa inayolikabili jeshi lako tangu kuanzishwa kwa falsafa ya polisi jamii
-Hivi karibuni tumeshuhudia kuibuka vitendo vya kulidhalilisha jeshi lako pale wananchi wenye hasira kali kuvamia vituo vya polisi na kuwapiga watuhumiwa hadi kuwa ua.
-Je kuna mtazamo gani kwa siku za usoni kuhusu kukabiliana na changamotohiyoambayo inaifedhehesha dola ,Iko falsafa isemayo tazama ulipojikwa ,sio pale ulipoangukia ?














Ng'ombe na Mbuzi-katika mahusiano ya kawaida



Wanyama pia wanautashi tofauti na binadamu anavyowafikiria ,wanyama hawa ng'ombe na mbuzi ni jamii mbili tofauti hata hivyo wanaheshimu hali zao ,hawabaguani kwa misingi ya utofauti walio nao kwa misingi ya kuzaliwa kwao.

Miji ya vijiji vyetu ninani mwenye jukumu la kuiboresha ili upande kutoka kwenye hali ya uduni iliyonayo kwa sasa na kuwa katika hali ya ubora ,pengine tunataka makazi haya ya hifadhiwe kama makumbusho kwa siku za usoni?

Hali hii itaendelea hadi lini , watanzania hawa utafikiri wakimbizi katika nchi yao , kijiji hiki hakiko mwendo mrefu kutoka Iringa mjini , serikali imeendelea kuwaahidi wananchi hao kwamba itaafikishia huduma hiyo ya maji, baadala yake serikali itegemea mhisani wa shirika la dini la Rome bila kuzingatia kuwa mhisani huyo jambo lolote linaweza kutokea aidha kuahirisha maamuzi yake .

Wakazi wa kijiji cha kising'a wilayani Iringa


Hii ni foleni ya wakazi wa kijiji cha kising'a wakisubiria kukinga maji kwenye bomba ambayo inatoa maji kidogo ,wakazi hao wamekuwa wakipata adha ya mateso ya kuamauka usiku wa manane kufuata maji ,hata wakati mwingine wanagombana wao kwa wao ,pamoja na hayo wanahoji serikali yao iko wapi kuwatatulia kero hiyo ambayo imekuwa ikiwasibu miongo hadi miongo.