Afande IGP Mwema katika ziara yake mkoani Iringa aliwahi kuulizwa swali lifuatalo;-Afande IGP huoni kuna changamoto kubwa inayolikabili jeshi lako tangu kuanzishwa kwa falsafa ya polisi jamii
-Hivi karibuni tumeshuhudia kuibuka vitendo vya kulidhalilisha jeshi lako pale wananchi wenye hasira kali kuvamia vituo vya polisi na kuwapiga watuhumiwa hadi kuwa ua.
-Je kuna mtazamo gani kwa siku za usoni kuhusu kukabiliana na changamotohiyoambayo inaifedhehesha dola ,Iko falsafa isemayo tazama ulipojikwa ,sio pale ulipoangukia ?
No comments:
Post a Comment