Hali hii itaendelea hadi lini , watanzania hawa utafikiri wakimbizi katika nchi yao , kijiji hiki hakiko mwendo mrefu kutoka Iringa mjini , serikali imeendelea kuwaahidi wananchi hao kwamba itaafikishia huduma hiyo ya maji, baadala yake serikali itegemea mhisani wa shirika la dini la Rome bila kuzingatia kuwa mhisani huyo jambo lolote linaweza kutokea aidha kuahirisha maamuzi yake .
No comments:
Post a Comment