Friday, July 2, 2010


Wanyama pia wanautashi tofauti na binadamu anavyowafikiria ,wanyama hawa ng'ombe na mbuzi ni jamii mbili tofauti hata hivyo wanaheshimu hali zao ,hawabaguani kwa misingi ya utofauti walio nao kwa misingi ya kuzaliwa kwao.

No comments:

Post a Comment