Hii ni foleni ya wakazi wa kijiji cha kising'a wakisubiria kukinga maji kwenye bomba ambayo inatoa maji kidogo ,wakazi hao wamekuwa wakipata adha ya mateso ya kuamauka usiku wa manane kufuata maji ,hata wakati mwingine wanagombana wao kwa wao ,pamoja na hayo wanahoji serikali yao iko wapi kuwatatulia kero hiyo ambayo imekuwa ikiwasibu miongo hadi miongo.
No comments:
Post a Comment