Saturday, June 26, 2010

Picha za wakazi wa mkungugu






Wakazi wa Mkungugu katika jimbo la ismani wilayani Iringa mkoani humo hali ni tete kutokana na njaa kali inayo waandama,baada ya kushindwa kuvuna mazao kutokana na ukame ,mvua ilikatika mapema ingawa hivi karibuni serikali ilitoa chakula cha msaada kwa wahanga hao hakikutosha.kama picha hii bi evelinakivike na mwanaye Juliana Luhala wakisaidiana kuokota punje za mahindi .

No comments:

Post a Comment